WAHUKUMIWA MIAKA 30 JELA KILA MMOJA KWA KOSA LA UNYANG’ANYI WA KUTUMIA SILAHA....

Askari
wa polisi mjini Singida akiwaelekeza washitakiwa wanne wa kesi ya
unyang’anyi wa kutumia silaha kuingia kwenye gari tayari kwenda kuanza
kutumikia adhabu zao kila mmoja miaka 30 jela baada ya kutiwa hatia kwa
kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha.Washitakiwa hao walitiwa hatiani
kwa kosa la kuteka gari la chuo kikuu cha SUA SU 37012 na kisha kuwapora
abiria shilingi 8.7 milioni.Pia walibomoa na kusachi jeneza lililokuwa
limehifadhiwa mwili wa marehemu mwanafunzi wa SUA,Munchari Lyoba
uliokuwa ukipelekwa mkoa wa Mara kwa mazishi.
DOGO JANJA ATIMULIWA MTANASHATI ENTERTAINMENT KWASABABU YA UNYWAJI POMBE,UVUTAJI BANGI NA KUTOKWENDA SHULE....
Akizungumza na Mtandao huu, kiongozi wa Mtanashati Entertainment Ustaadh Juma Namusoma alisema kuwa sababu za kumtimua Dogo Janja ni utovu wa nidhamu, unywaji pombe, kutokwenda shule pamoja na uvutaji bangi.
MBUNGE WA CCM MWENYE MIAKA 60 AJIKUTA KWENYE KASHFA NZITO BAADA YA KUOLEWA NA KIJANA WA MIAKA 26....

UKATILI!! MWANAUME AMNYWESHA MPENZI WAKE TINDIKALI, KISA WIVU.....

Jitendra Sakhpal akisindikizwa na polisi kuingia mahakamani.
Msichana mdogo ameungua vibaya baada ya rafiki yake wa kiume aliyevunja
naye uchumba kudaiwa kumtega walipokutana, kumlazimisha kunywa tindikali
na kumsukumia kwenye bahari.
TRAFFIKI FEKI ALIYEKAMATWA HIVI KARIBUNI ALIKUWA NI MFUNGWA WALIYETOROKA GEREZANI

MAZITO tena yameibuka kuhusu yule trafiki feki James Hussein, mkazi wa Kimara Matangini, jijini Dar es Salaam ambaye yuko Gereza la Segerea, Dar akikabiliwa na kesi ya kujifanya askari wa usalama barabarani.
UPDATE: MAJAMBAZI YALIYOVAA SARE ZA POLISI YAVAMIA HABIB AFRIICAN BANK NA KUPORA MAMILIONI

Watu wanaodhaniwa kuwa ni Majambazi ambao wamevalia sare za Jeshi la Polisi wamevamia Habib Afriican Bank Kariakoo DSM na kupora kiasi kikubwa cha Fedha.
MWIGULU NCHEMBA ATAKA MBOWE NA DR. SLAA WAKAMATWE KWA MAUAJI YA RAIA

Subscribe to:
Posts (Atom)